Friday, January 4, 2013

MTANASHATI YAAMUA KURUDIA VIDEO YA PNC IMEBUMA

Dogo Janja ama waweza kumuita Janjaro kwa sasa ameongea kwa niaba ya Ostaz Juma na kueleza sababu ya kurudia video hiyo na jinsi walivyoyapokea malalamiko ya raia.

"yerEEEEEEE niaje bandugu na kausiku haka hope uko poaaaaa ''NASIMAMA KWA NIABA YA Ostazi Juma namusoma'' ni kwamba now ndo tumerud hm tulikua location siku nzima samahanini sana mashabiki wetu wa mtanashati tunawapenda na tumeamua kufata ushauri wenu na kuzijudge comment zenu kuhusu video ya PNC SHINO-imebuma brand new track yake kwamba wimbo ''AUDIO'' ni mzuri sana ILA ILE VIDEO ILIKUA more than mbayaaaaaaaaaaaaaaaaa yaaani ''SI NZURI'' so, kosa sio letu ila kosa lilikua la directror ambaye alieshoot video ya pnc ''abbykaz'' chini ya company yake ya ''IMAGE ARRAY VISION'' kwani yeye ndo alikua mpango mzima kwny video iyoooo................ ila amekuta akikifanya kitu simple na kuzani ni easy easy kama kupika vitumbua KAMA COMPANY YA MTANASHATI TUMEAMUA KURUDIA VIDEO YA PNC SHINO- IMEBUMA NA COMPANY YA APEX VIDEOS CHIN YA DERECTOR PABLO NA kiukweli mi enyewe nimefurahia video maana nlikua location na pia nimeshudia video WALLAH imekua seriosly so, TUNAWAOMBA RADHI KWA YOTE NA YOTEEE NAWAOMBAA WATANZANIA KWA MIKONO YANGU YOTEE MIWILI KWA HEKIMA NA ADABU MUMPOKEEEEEEEE PNC NA VIDEO YAKE MPYA [VERSION 2] AU SIO MTU WNG>>> BAADA YA WIKI MBILI MUNGU AKIJAALIA AKITUPA UZIMA INSHAALAH ITATOKAAAA,,,........ GET READY PEOPLE AU WE UNAONAJEEEEE TUMEFANYA SAHIHI AU WRONG EBUUUUUUU NICHANEE TU.............USIOGOPE"

No comments:

Post a Comment