Wednesday, January 23, 2013

HIVI NDIVYO WANAFUNZI WA ST JOHN DODOMA, WALIVYOMUAGA MWANAFUNZI MWENZAO ALIYEUAWA JUZI

Marehemu mama yetu na mwanafunzi mwenzetu LYDIA LEO
Hapa wanafunzi pamoja na walimu wakijipanga kuupokea mwili wa marehemu mama yetu, mwanafunzi mwenzetu LYDIA LEO





Uzuni majonzi ndio iliyotawala moyoni mwetu kwa kumpoteza mwanafunzi mwenzetu LYDIA LEO



Wanafunzi wakiwa ukumbini kwa ibada ya kumuaga mwanafunzi mwenzetu LYDIA LEO
Sisi sote ni wake Mola na kwake tutarejea, tulimpenda sana LYDIA LEO ila mwenyezi Mungu amempenda zaidi, Bwana alitwa na bwana ametoa. Twamuomba Mwenyezi Mungu aiweke roho ya marehemu mahala pema peponi. Amen. Mwili wa marehemu umesafirishwa kuelekea Matombo mkoani Morogoro kwa ajili ya mazishi.

No comments:

Post a Comment