Tuesday, February 19, 2013
SHILOLE CLASSIC AFANYA BALAA SOUTH AFRICA...!!
Shilole classic akiwa na Baby Boy na Mafia Mnyama alipowasili Afrika kusini |
Anzo Mafia,Joff Mnyama wakiwa na shilole kabla ya show....!! |
Anzo Mafia Moja ya Promoter Nguli South Africa akiwa na Flower Diva kutoka S.A |
Mama Kiuno Shilole akiwa na Moja ya wadau wa S.A |
Mafia Mnyama The Man Himself Aliefanikisha show ya Shilole nchini S.A...... |
Si ndo Mziki wa Mwambao ukahanza kuteremka taratibu....... |
Ni viuno tu Kwenda Mbele.....!! |
John A.k.a Toyi akiwa na Shilole after show....!! |
DIAMOND AWEKA HISTORIA ARUSHA....!!
Shuguli Ilihanza Hivi.........!! |
BINTI ALIE MCHOMA MOTO NA KUMLISHA CHOO MTOTO AHUKUMIWA MAISHA JELA...!!
Hii Stori Moja wapo kati ya Stori za Mbeya Zilizokaa sana kwenye Headlines
Mwaka huu,Ni kuhusu yule Binti Alimchoma kwa Maji moto na Kumlisha choo
Mtoto mwenye Miaka 3 ambae ni wa Dada yake...
Mtoto Huyo alikatwa Mikono Baada ya Kushindwa Kutibiwa hospital...
TAHARIFA ambayo Imeripotiwa Kutoka Mbeya Kwamba Binti Huyo amehukumiwa
Kifungo cha Maisha Jela...!!
Mwaka huu,Ni kuhusu yule Binti Alimchoma kwa Maji moto na Kumlisha choo
Mtoto mwenye Miaka 3 ambae ni wa Dada yake...
Mtoto Huyo alikatwa Mikono Baada ya Kushindwa Kutibiwa hospital...
TAHARIFA ambayo Imeripotiwa Kutoka Mbeya Kwamba Binti Huyo amehukumiwa
Kifungo cha Maisha Jela...!!
Subscribe to:
Posts (Atom)