Tumezoea kushuhudia vituko vya Wema Sepetu, Rayuu, Wolper na Wengine......Sasa hali imebadilika.
Msanii wa kibongo
kwa maana halisini kioo cha jamii ambaye mara nyingi huwa mstari
wa mbele kuikemea jamii na kuionya pia.....Maonyo hayo huifikia jamii
kupitia kazi zao za sanaa.....
Wasanii na Waalimu ni mfano hai wa kuigwa kimaadili hasa katika kipindi hiki kigumu cha UTANDAWAZI.
Jamii itawashangaa kama mtafkia hatua ya kuukumbatia "UZUNGU" na kuukana "UAFRIKA"
No comments:
Post a Comment