Saturday, January 19, 2013

HUYU NDO MSANII KUTOKA KENYA ANAYETOZA KSH 100,000 KUFANYA NAE COLLABLE, UKISHINDWA NENDA NA GUNIA LA UNGA

It was reported earlier today by Pulse that Willy Paul will now be charging Kshs. 100,000. Mambo Mseto's Willy M. Tuva invited the gospel music artiste on his Citizen Radio show to explain the move.
Apparently, the money the singer is asking for is actually for a good cause: "Ni ya kuchangia orphans. Tunanenda kila children's home tuki-donate. Hata ukiwa na idea ya children's home, unaweza tuambie tutaenda."
"Hauoni ni kama kuna wasanii wanaoweza taka collabo lakini hawawezi pata fedha hizo?" Willy M. Tuva asked. "Wale wanaweza watatoa. Kama huwezi toa, ukuje na unga," Willy Paul responded.
"Kwa hivyo nikikuja na unga, napata collabo?" Tuva asked. "Bora tu iwe haujiwezi," Willy Paul clarified

No comments:

Post a Comment