Sunday, January 6, 2013

ALICHOKISEMA NASH MC KUHUSU UMOJA WA WASANII WA BONGO MUVI


Msaniii wa Muziki wa Bongo NASH MC katika ukurasa wake wa Facebook ameyasema yake hasa kuhusiana na wasanii wa bongo muvi kwenye suala zima la kusaidiana hasa mmoja wao anapopatwa na matatizo, lakini imeonekana misaada hiyo inawalenga wachache tu na wengine wakitengwa.

 Msome HAPO JuU  alichokisema NASH MC

No comments:

Post a Comment