Sunday, January 6, 2013

Gumzo limeenea duniani kote kwamba kesho (21/12/2012) ni mwisho wa dunia.


Eti jamani, tujadiliane: Gumzo limeenea duniani kote kwamba kesho (21/12/2012) ni mwisho wa dunia. Je, wewe binafsi unadhani ni kweli au lah? Tuongee kwa pamoja kwa ku "share" na ku "comment".

No comments:

Post a Comment