Utapata zote kali toka ndani na njee bila kulipia .....!!
Wednesday, January 23, 2013
HII NDO GARI MPYA YA MREMBO WEMA SEPETU
Picha za Gari mpya ya Wema Sepetu aina ya Audi Q7 yenye rangi nyeusi zimeonekana kwenye
akaunti ya Wema ya Instagram alipokuwa beach hivi karibuni na kuiandikia
caption, ‘my baby at da beach.’
Kwenye akaunti ya meneja wake Martin Kadinda pia kuna picha nyingine
ya gari hiyo aliyoiandikia maneno, ‘#maisha sio manhattan…..You can
creat your own Manhattan in Tz… Hata kama ni Ya muda mfupi… #Kiphating.’
No comments:
Post a Comment