Friday, January 17, 2014

Picha: LILE BEEF KATI YA WASANII WA MUZIKI H:BABA NA DIAMOND PLATNUMZ LAISHA

Akizungumza na Blogger wetu jana, H.Baba aka Baba
Tanzanite alisema katika kusherehekea siku hiyo
muhimu ameona ni vyema asawazishe makosa
yote yaliyotokea nyuma ili awe mpya.
“H.Baba ni mpya sihitaji beef sasa hivi nahitaji
kufanya kazi. Diamond namheshimu na yeye
ananiheshimu,kama nilimkosea mimi au
alinikoea mimi tusameheane,sisi ni binadamu
nimeona niyamalize ili tuishi kwa amani,”
amesema muimbaji huyo.
“Tokea sakata la wizi wa nyimbo lilipotokea
sema tulikuta na tukazungumza,lakini mimi
imebidi niwe wa kwanza kusema kwamba hili
jambo liishe kabisa. Nilizaliwa sina beef na mtu
kwahiyo Nasib Abdul naomba tusameheane toka
moyoni na pia kama kuna yoyote nilikosa naye
naomba tusameane.”

Wednesday, January 1, 2014

Picha: Samsung yazindua TV kubwa zaidi duniani, ni ya inch 102, inauzwa milioni 240

TV hiyo imeingizwa sokoni kwa mara ya kwanza
Korea Kusini ikiwa inauzwa 160million won ya
Korea Kusini sawa na shilingi milioni 241 za
Tanzania.
TV hiyo inatumia teknolojia ya U-HDTV (Ultra-
High Definition Television) inayosababisha picha
kuonekana vizuri zaidi ya mara nne ya TV za HD
za kawaida.

Monday, December 30, 2013

HUDDAH MONROE WA KENYA AMPIGA DONGO JACK CLIFF KWA KUKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA

Aliyekuwa muwakilishi wa Kenya kwenye
shindano la Big Brother Africa ‘The Chase’,
Huddah Monroe aka Thee Boss Lady amerusha
dongo kwa mrembo wa Tanzania Jackie Cliff
ambaye alikamatwa na dawa za kulevya aina
ya Heroin nchini china.
Tweet ya Huddah inadai kuwa Jackie Cliff ni
mrembo ambaye alitaka kuishi maisha mazuri
ya haraka na kutumia vitu vya kifahari, pia
akaambatanisha na picha mbili
zinazomuonesha Jackie akiwa amepozi kabla ya
kukamatwa na nyingine akiwa na pingu, picha
iliyotolewa na gazeti la nchini China.
Katika tweet nyingine Huddah ambaye hupenda
kuonesha maisha ya kifahari anayoishi,
amefunguka zaidi na kuonesha kuwa yeye ni
muoga na asingeweza kufikia kiwango hicho.
“So this beautiful Tanzanian girl was caught
with a KG of Cocaine. That’s now a BAD ASS
B**CH! I’m such a coward…I swear I’m not
BAD!” Huddah ametweet.

Kanye west amnunulia Lamborghin mwanae ambae ana Miezi sita Kama Zawadi ya Xmas

Kanye bought a tiny replica of his Batmobile-
styled Lamborghini Aventador LP 700-4 for his
six months old daughter, North West, as a Xmas
gift. The child-size electric version of the rare $
750,000 black supercar car is said to be worth
thousands of dollars. A car North can't ride for
years to come.
Kim posted the pic above on instagram
yesterday, with the caption ''Like father like
daughter''.

BAADA YA JUSTIN BIEBER KUDAI KUACHA MZIKI KABISA, MENEJA WAKE AFUNGUKA KWA MARA YA KWANZA. SOMA ALICHOKISEMA HAPAA

Scooter Braun ambaye ni manager wa msanii wa
pop Justin Bieber amesema msanii wake
anahitaji kupumzika na kwamba Justin hajapata
nafasi hio toka akiwa na miaka 12 alipoingia
rasmi kwenye muziki. Kauli hii ameitoa manager
huyo baada ya mahojiano ya Justin na kutio cha
radio flani ambapo Justin alifunguka kuhusu
kuacha muziki kabisa.
Manager huyu aliyeanza kumsimamia Justin
toka mwanzo wa safari yake ya muziki amesema
"I'm Retiring Man" Ni jina la album ya 6 ya
Justin na ataifanyia kazi mwakani.
Taarifa hizi za Justin kuacha muziki zilisamba
baada ya Beiber kuandika kwenye ukurasa wake
kuwa anastaafu muziki ila atabaki kuwabenda
na kuishi kama "Belieber" na kuwa kuishi hivyo
ni maisha ya mtu anayo chagua.

Picha: kwenye uzinduzi wa Video ya Rich Mavoko Maisha Club

Juz kati Hapa msanii wa bongo fleva Rich Mavoko alizindua Video ya nyimbo yake inayohit kinoma Sasa jijini na video Io ilizinduliwa Tarehe 29/12/2013 pale Maisha club iliyopo Osterbay ..
Na alisindikizwa na wasanii kama Jux,Shetta,Dully sykes,Mr.blue,gosby, na wengi...

Tuesday, August 13, 2013

Ebhana eeeh hiki ni kioja zaidi ya kioja,mastaa hawa
 kutoka majuu kila kukicha ukisikia ili
kesho watakuja na ili sio kiubaya lakini laasha ni katika
kuweka maisha yao halisia na kuonesha
kile ufanyaga wanapokuwa nyumbani kwa mashabiki zao....
Msanii Nicki Minaj mwenye asili ya visiwa vya
Trinidad & Tobago siku ya jana kupitia
mtandao wake wa Instagram aliweza kuweka
picha hizi na kuonesha sehemu
ya mwili wake tena akimanisha ni maziwa yake
 kiujumla yakionekana wazi kabisa...
Mwanadada huyo mwenye mvuto wa aina yake kama
 ilikuwa aitoshi aliweka picha nyingine
na kuandikia maneno "#Titythursday a day to celebrate"....
Kumbe alikuwa anafanya vile kama kuonesha ishara
 ya kusherekea siku ya matiti duniani so
kama mwanamke aliamua kuweka vile
kuonesha kufurahia siku hiyo......
Naona umejionea mwenyewe hapo au sio
 basi usikose kupitia hapa kwenye
Blogsite hii kupata habari moto moto za ndani na nje
 ya nchi kiburudani,michezo na kitaifa....