Pamoja kundi la P-Square kumiliki kwa pamoja nyumba ya kifahari nchini
Nigeria iitwayo Squareville ambayo imejengwa kwa mabilioni ya shilingi,
Peter Okoye ambaye ni mmoja wa mapacha hao ameonesha nyumba yake
anayomiliki huko San Fransisco, Marekani.
Katika picha inayoionesha nyumba hiyo aliyoiweka kwenye mtandao wa
Instagram Peter ameandika “My little Squareville in San Fransisco …..
Thank u Lord.”
Tazama picha za ndani ya nyumba hiyo na uone jinsi hawa jamaa walivyo na utajiri.
Source blog Bongo5
No comments:
Post a Comment