Diamond
Amekanusha Uvumi kuwa anamahusiano ya Kimapenzi na Jaqueline Wolper
Nakusema Kuwa Picha zilizo onyweshwa kwenye magazeti ni za video ya
Keisha 'Nimechoka' aliyo Shirikishwa Diamond. Plantnumz amesema video
shoot ya wimbo huu ilianza Miezi miwili iliyopita na kuja kukamilika wiki
Mbili zilizo pita na ndio scene ya video hio inamuonyesha akiwa
karibu na Wolper.
Pia
Diamond amesema Msichana yoyote atakaye sema ni Girl Friend wake kwa
sasa Ni Muongo kwani yeye yupo single kwa sasa na hana mpango wa
kutangaza
Mpenzi wake atakaye mpata. Diamond Alikaririwa na sammisago.com akisema
`Simba akiwa Karibu na Swala, Watu wanadhani Anamla, Ila Kuna Muda Simba
Anashiba'
No comments:
Post a Comment