Saturday, January 12, 2013

ALICHOSEMA DIAMOND KUHUSU MAHUSIANO YAKE NA JAQUELINE WOLPER.

              Diamond Amekanusha Uvumi kuwa anamahusiano ya Kimapenzi na Jaqueline Wolper Nakusema Kuwa Picha zilizo onyweshwa kwenye magazeti ni za video ya Keisha 'Nimechoka' aliyo Shirikishwa Diamond. Plantnumz amesema video shoot ya wimbo huu ilianza Miezi miwili iliyopita na kuja kukamilika wiki Mbili zilizo pita na ndio scene ya video hio inamuonyesha akiwa karibu na Wolper.
Pia Diamond amesema Msichana yoyote atakaye sema ni Girl Friend wake kwa sasa Ni Muongo kwani yeye yupo single kwa sasa na hana mpango wa kutangaza Mpenzi wake atakaye mpata. Diamond Alikaririwa na sammisago.com akisema `Simba akiwa Karibu na Swala, Watu wanadhani Anamla, Ila Kuna Muda Simba Anashiba'

No comments:

Post a Comment