Monday, December 30, 2013

HUDDAH MONROE WA KENYA AMPIGA DONGO JACK CLIFF KWA KUKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA

Aliyekuwa muwakilishi wa Kenya kwenye
shindano la Big Brother Africa ‘The Chase’,
Huddah Monroe aka Thee Boss Lady amerusha
dongo kwa mrembo wa Tanzania Jackie Cliff
ambaye alikamatwa na dawa za kulevya aina
ya Heroin nchini china.
Tweet ya Huddah inadai kuwa Jackie Cliff ni
mrembo ambaye alitaka kuishi maisha mazuri
ya haraka na kutumia vitu vya kifahari, pia
akaambatanisha na picha mbili
zinazomuonesha Jackie akiwa amepozi kabla ya
kukamatwa na nyingine akiwa na pingu, picha
iliyotolewa na gazeti la nchini China.
Katika tweet nyingine Huddah ambaye hupenda
kuonesha maisha ya kifahari anayoishi,
amefunguka zaidi na kuonesha kuwa yeye ni
muoga na asingeweza kufikia kiwango hicho.
“So this beautiful Tanzanian girl was caught
with a KG of Cocaine. That’s now a BAD ASS
B**CH! I’m such a coward…I swear I’m not
BAD!” Huddah ametweet.

Kanye west amnunulia Lamborghin mwanae ambae ana Miezi sita Kama Zawadi ya Xmas

Kanye bought a tiny replica of his Batmobile-
styled Lamborghini Aventador LP 700-4 for his
six months old daughter, North West, as a Xmas
gift. The child-size electric version of the rare $
750,000 black supercar car is said to be worth
thousands of dollars. A car North can't ride for
years to come.
Kim posted the pic above on instagram
yesterday, with the caption ''Like father like
daughter''.

BAADA YA JUSTIN BIEBER KUDAI KUACHA MZIKI KABISA, MENEJA WAKE AFUNGUKA KWA MARA YA KWANZA. SOMA ALICHOKISEMA HAPAA

Scooter Braun ambaye ni manager wa msanii wa
pop Justin Bieber amesema msanii wake
anahitaji kupumzika na kwamba Justin hajapata
nafasi hio toka akiwa na miaka 12 alipoingia
rasmi kwenye muziki. Kauli hii ameitoa manager
huyo baada ya mahojiano ya Justin na kutio cha
radio flani ambapo Justin alifunguka kuhusu
kuacha muziki kabisa.
Manager huyu aliyeanza kumsimamia Justin
toka mwanzo wa safari yake ya muziki amesema
"I'm Retiring Man" Ni jina la album ya 6 ya
Justin na ataifanyia kazi mwakani.
Taarifa hizi za Justin kuacha muziki zilisamba
baada ya Beiber kuandika kwenye ukurasa wake
kuwa anastaafu muziki ila atabaki kuwabenda
na kuishi kama "Belieber" na kuwa kuishi hivyo
ni maisha ya mtu anayo chagua.

Picha: kwenye uzinduzi wa Video ya Rich Mavoko Maisha Club

Juz kati Hapa msanii wa bongo fleva Rich Mavoko alizindua Video ya nyimbo yake inayohit kinoma Sasa jijini na video Io ilizinduliwa Tarehe 29/12/2013 pale Maisha club iliyopo Osterbay ..
Na alisindikizwa na wasanii kama Jux,Shetta,Dully sykes,Mr.blue,gosby, na wengi...

Tuesday, August 13, 2013

Ebhana eeeh hiki ni kioja zaidi ya kioja,mastaa hawa
 kutoka majuu kila kukicha ukisikia ili
kesho watakuja na ili sio kiubaya lakini laasha ni katika
kuweka maisha yao halisia na kuonesha
kile ufanyaga wanapokuwa nyumbani kwa mashabiki zao....
Msanii Nicki Minaj mwenye asili ya visiwa vya
Trinidad & Tobago siku ya jana kupitia
mtandao wake wa Instagram aliweza kuweka
picha hizi na kuonesha sehemu
ya mwili wake tena akimanisha ni maziwa yake
 kiujumla yakionekana wazi kabisa...
Mwanadada huyo mwenye mvuto wa aina yake kama
 ilikuwa aitoshi aliweka picha nyingine
na kuandikia maneno "#Titythursday a day to celebrate"....
Kumbe alikuwa anafanya vile kama kuonesha ishara
 ya kusherekea siku ya matiti duniani so
kama mwanamke aliamua kuweka vile
kuonesha kufurahia siku hiyo......
Naona umejionea mwenyewe hapo au sio
 basi usikose kupitia hapa kwenye
Blogsite hii kupata habari moto moto za ndani na nje
 ya nchi kiburudani,michezo na kitaifa....

Picha: Mmiliki wa Home Shopping Center akiwa South Africa kwa matibabu baada ya kumwagiwa tindikali



MFANYABIASHARA maarufu na Mmiliki wa maduka ya Home Shopping Center(HSC), Said Mohamed Saad, ambaye wiki iliyopita alimwagiwa tindikali maeneo ya Msasani City Mall, jijini Dar es Salaam, sasa yuko  Afrika Kusini kwa matibabu zaidi.
Hali yake inadaiwa kuendelea vizuri, lakini kuna uwezekano wa jicho lake moja kutokuona kabisa baada ya kuathirika sana, lakini jicho la pili liko salama.
Wiki iliyopita majira ya saa moja jioni, mfanyabiashara huyo alimwagiwa tindikali na mtu mmoja ambaye hakufahamika na mara baada ya kutenda tukio hilo, mhusika alikimbia huku mlinzi wa eneo hilo akijaribu kumkimbiza pasipo mafanikio baada ya kuteleza na kuanguka.

Hatua hiyo ilitoa mwanya kwa mtuhumiwa kutoroka eneo la tukio kwa kutumia usafiri aina ya pikipiki.

Hapo awali ilidaiwa kuwa Saad alikuwa anaweza kuzungumza japo amefungwa mashine sehemu ya pua kwa ajili ya kumsaidia kupumua.

Matukio ya watu kumwagiwa tindikali yameonekana kushamiri nchini katika siku za hivi karibuni.

Tukio la kumwagiwa tindikali mmiliki huyo wa Home Shopping Centre, limekuja ikiwa ni takribani wiki mbili tangu Sheikh Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, mkoani Arusha, Said Juma Makamba naye ajeruhiwe vibaya usoni kwa kumwagiwa maji maji yanayosadikiwa kuwa ni tindikali majira ya usiku akiwa nyumbani kwake.

Baada ya kuachia "Salamu Zao" wenye salamu washamtuma Ney Salam zao


Ikiwa ni siku chache tu mara baada ya kuachia single yake mpya "Salamu zao" Ney wa mitego amepokea salamu zake kwa ujumbe mfupi kutoka kwa mmoja wa  aliekuwa kwenye kamati ya mazishi ya marehem Albert Mangweha "Ngwea" .

Meseji hizo ambazo Ney hakutaja ni nani exactly aliezituma, zinaonyesha kumuuliza Ney kama hiyo ni hiphop au nini maana ni kama kuwatukana.
Baada ya kupost picha hiyo yenye meseji hizo, Ney aliandika kuwa meseji ziko nyingi na ataendelea kuzipost  na wala haogopi vitisho vyao na kuwaomba wanakamati hao kupeleka pesa zilizokuwa zimepatikana katika mazishi ya Ngwea kwa mama yake mzazi hata kama nikimya kimya maana bado muda wanao 


Kwenye wimbo huo wa salamu zao Ney ametuma salamu zake pia kwa Mh Zitto Kabwe na kumtaka aachane na bongo fleva maana hawamtaki, Kigoma all stars imemshinda, Madam Rittah pia salamu zake kuhusu BSS pia zipo huko na kuuliza mill 50 zinaenda wapi maana wasanii wao wamechoka na wengine kibao.....

CHIDI BENZI AMEKIRI KUA ALKA ANATUMIA MADAWA YA KULEVYA KWA MUDA MREFU NA SASA AMEAMUA KUACHA..ALISEMA LEO HII AKAIWA KWENYE INTERVIEW YA NYIMBO YAKE MPYA ....


Rapper Chidi Benz amekiri kutumia madawa ya kulevya kwa muda mrefu, na baada ya kuzidiwa nayo ameamua kuachana nayo na kupatiwa matibabu Nairobi, Kenya.
Chidi amekiri leo hii kupitia kipindi cha XXL pale alipofika kwa ajili ya kuachia wimbo wake mpya ambao amewaachia mashabiki kuupa jina lake.
hidi alianza kufunguka mara baada ya kuulizwa na Lachico kuhusu ngoma hii ambayo imefanyika ndani ya wiki moja wakati alikuwa kimya mda ina maana alikuwa harikodi au?

Chidi Benzi: ngoma nimefanya nyingi sana, zingine nimetoa lakini zilikuwa hazina nguvu sana kwasababu usimamiaji ulikuwa chini na kipindi kile kulikuwa kuna mambo mengine ambayo tulikuwa tunahusika nayo yanakuchanganya akili unakuwa unafikiria mawazo mengi lakini usambazi tu na wewe mwenyewe kujiweka kikazi nilikuwa siko hivyo.

Lachico: Ulikuwa unawaza nini ambayo ilikuwa inakuchanganya akili? 

Chidi Benzi: eeeh mambo mambo tu mavitu mengi unajua binaadam unakua unakutana na vitu unaonana navyo unaungana na vitu unapishana navyo, kwahiyo vitu vitu tu.

Lachico: Ok kama unafikiri kwamba inaweza kutusaidia kushare na sisi au kama ni ersonal tunakuruhusu uiweke iwe personal?.
Chidi Benzi: Aaah naweza kushare kwasababu tu familia iliniambia nisizungumzie sana  ila naweza nikashare kwasababu nilikifanya na nikaamua watu wote wapate hisia kuwa Chidi amefanya, ofcourse nilikua najihusisha na vitu vingi ambavyo ni vilevi na nini, nilikuwa nikitumia vitu vingi sana kwahiyo utumizi ule ulikuwa unanifanya saa zingine nakuwa na hasira na mawazo mengine tofauti tofauti, namchukia kila mtu na nini, kwasababu natumia vitu mbavyo vinavyozidi, naweza tukaongea na wewe lachico hivi story lakini nitoka pale  namwambia lachico snich tu yaani unakuwa na anger unakuwa na hasira, kwahiyo sasa dakika ya mwisho nikagundua naficha watu au naamua kwenda kufanya kitu kwaajili ya afya yangu na maisha yangu.

Lachico: Mimi namaindi kujua ni vilevi vya aina gani ambavyo unavizungumzia hapa?

Chidi Benz: aaah pombe, ganja madawa na vinginevyo vinginevyo

Lachico: kwahiyo unataka kuniambia pamoja na kwenda Nairobi pia ulikuwa umekwenda rihab pia.

Chidi: No sikua rihab ndo maana huwa sitaki kuizungumzia wala kupost kwenye ma website na nini, lakini ni kama nilienda then baada ya kufika nikakutana na Nonini kutoka airport tu gari linaanza kwenda nikagundua kwanza sikufatilia kama ulikuwa ni muda wa baridi kwahiyo nikagundua kuna baridi, then jamaa anaanza kuniambia yooo unajua tuna show kama saba, nane tisa kumi, kumi na mbili, nikamwambia show ngapi? umeniambia show kama tatu tu, akasema eeh nilikuwa nataka tu uje tunashow kama 7 nane yaani show nyingi, utaweza au unadhani kuna vitu ambavyo utavihitaji ambavyo itakuwa ngumu kwako?

 nikamwambia yaaah kuna vitu nitavihitaji, mimi bana kuna vitu navyovitumia nimefikia nikikaa twenty minutes bila hivyo vitu ni noma yaani ni noma nachanganyikiwa nakuwa akili tena sina, kwahiyo sijui tutafanyaje.akaniambia Chidi na mimi unanijua, unajua yeye nikama anakunywa pombe lakini siku mojamoja sasa unajua mi ntapaje Chidi na nairobi ni gharama,
 nikamwambia ok, nikamwambia lakini pia nnawazo lingine kuna mtu alinitonya kuwa kunakitu ambacho kinaweza kufanyika ni pensa nyingi kama milioni 15 , 16 hivi za kibongo, kama kikifanyika hicho basi nanyofolewa kabisa hivyo ambavyo vilikuwa vinanifanya niwe hivyo, akaniambia hiyo naijua lakini ni process ndio maana dunia nzima hawafanyi hiyo unaskia watu wanakufa daily na madawa hawafanyagi hiyo wewe je? 
nikamwambia mi nafanya kwasababu sasa nishakutana na vitu vingi kama ni maumivu, ni ishu aibu nishakuta nazo za mapenzi za maisha kawaida ntashindwa kufanya hicho, akaniambia watu huwa wanakufa sometimes ikikuzidia, nikamwambia ntafanya si kuna hospitali ni dawa nitafanya.
hela ikapatikana nakumbuka tuka arrange, daktari kaja kanitibia fresh, kwahiyo mi sijaenda rihab wala sijatumia methadon sijui maana zile ni mradi tu.

Lachico: ulitibiwa kwa njia gani?

ni dawa ambayo inanunliwa na unachomwa kama mgonjwa tu, yenyewe inakusafisha wewe pale ambapo ulikuwa ukivuta inaenda kukaa, then baada ya dakika kadhaa pakikauka panakua pakavu, ni kama ile sehem inakua ni mbichi ukivuta, lakini ukiwa huna hela huvuti panakuwa pakavu pakikauka ndio unachanganyikiwa unaanza sasa kuwa na alosto, lakini kama ukiendelea kuvuta panakuwa pabichi unaendelea, so yenyewe inaenda ni kama mapovu, panasafisha panakuwa empty ni wewe mwenyewe uamue uendelea kuvuta ama uache kabisa, lakini yenyewe inakusafisha pale kote, unaanza kuwa na power, inakupa akili, uso, rangi ya uso, mwili unaanza kubadilika, unaanza kuwa fine.,,,,,,,so niko fresh, niko healthy, nakula naishi vizuri naskia vizuri na nime-calm down.

Monday, July 15, 2013

CHEKI HAPA MJI MZURI KULIKO YOTE DUNIANI NA VYANZO VYAKE....

Kama utakuwa na kumbukumbu basi moja ya makala ambazo
nimekuandalia huu ni mwendelezo wake...
Makala ya Jinsi Dubai ilivyokuwa hadi leo walivyowekeza
na vitega uchumi,nikiwa nimekuonesha sehemu
mojawapo za vitega uchumi vya nchi hii ya falme za kiarabu......

Picha hizi utakazoziona hapa ni picha halisia za maendeleo ya nchi
hiyo mojawapo unaweza kujionea
jinsi mfano wa Mti wa Mnazi na Matawi yake lakini hapa unajionea
mti huo ukiwekwa baharini ukitengenezwa
kwa kusukuma maji na kujenga makazi ya watu na hoteli za kitalii..
Kama ulikuwa hujui basi acha nikujuze hapa,kwa sasa Dubai ndio
Mji mzuri kupita miji yoyote duniani
kutokana na vitega uchumi kama hivi,ni ajabu kuona au kufikiria
kufanya kitu kama hiki,cha kwanza yahitaji moyo
cha pili yahitaji ushirikiano na moja ya hela zilizotumika ni
kodi za wananchi na hela ya serikali....
Hii inatokanaje.......? Je wajua?? Serikali yenye watendaji
Imara na Uadilifu wanaweza kufanikisha mambo kama haya
kuzuia ufujaji wa hela na rushwa huku Dubai rushwa ni adui namba
moja na kutokana na sheria ya nchini humo
ukipokea rushwa ni kuhukumiwa kunyongwa........
Hali kama hiyo inatisha hadi viongozi na kuamua kujitolea
kufanya kazi kwa hali na mali
kufikia kuwaletea maendeleo wananchi wake.....
Picha hii ni mwonekano wa kaskazini wa mfano wa mti wa
mnazi uliotengenezwa nchini dubai
ndani ya bahari,unaweza kuona majengo marefu na hata
 njia mbalimbali za magari....
Picha halisia ya kile nilichokuelezea kwa juu hapa unaweza kuiona saawia kabisa....
Kusini mwa Mti huu unaweza kuona sehemu hii shuguli mbalimbali zinafanyika...

Picha ya Juu kabisa unaweza kuona mandhari ya kitu nachokuelezea
na kuvuta taswira ya kile nilichokujuza
pale juu....
Hiki ni kitu kingine kabisa.....Angalia picha hii kwa umakini
 utatambua kitu kama mimi nachokuambia,
ni ramani ya dunia ikiwa imetengenezwa mita 10,000 kutoka usawa
wa nchi kavu wa bahari nchini
dubai.....Unaweza kuona kitu hiki ni cha ajabu kabisa lakini ni
kweli kipo kabisa na kama unavyshuudia wewe
mwenyewe....
Mfano wa mti wa Mnazi unavyoonekana kwa usiku wakati wa
 ufunguzi wa sehemu hiyo iliyotengenezwa
na mafundi na Wakandarasi waliobobea kutoka nchini Uholanzi kwa
 muda wa miaka 4 kujenga kitu
hiki na imegharimu zaidi ya dolla Bil.8 za kimarekani kufanikisha ujenzi huu....
Angalia mandhari ya eneo ili lililojengwa kwa ramani ya
 dunia na unavyoona ni makazi ya watu
wanaishi kabisa ndanio ya ya ramani hiyo ya dunia....
Mandhari zahiri ya Sehemu husika pembezoni mwa ramani
ile ukiona sehemu za pembeni ni nyumba na
hoteli za kitalii ....!!                     









Home Biography Videos Lyrics Contact Us Baada ya habari kusambaa kuwa Agness Gerald na Melisa Edward wamekamatwa na madawa ya kulevya SA. Agness ajibu

Baada ya habari za kukamatwa kwa mtanzania Agness Gerald na Melisa Edward, wakiwa na madawa ya kulevya yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 6 kuenea na kuthibitishwa na kamanda wa polisi kitengo cha kuzuia na kupambana na madawa ya kulevya "Godfrey Nzowa". Agness Jerald ambae wengi wanahisi ni  Aggy Masogange ambae pia yuko nchini South Africa mpaka dakika hii, (ambapo haijajulikana kama ni yeye kweli) ameonekana akiendelea kuandika kupitia mtandao wa instagram licha ya kutangazwa kwa habari hizo.
masaa matatu yaliyopita Aggy alipost picha hii hapo chini na kuandika maneno haya
 na baadae kupost pichaa hii yenye caption hiyo hapo chini


jessolomon@renatusleonard naomba nijuze kunani??

tarinawhtIn my prayers doll,fanya yko darling let them talk❤@aggnesfineassgirl

carlozvellaWataongea sana ila yako yanafika utakapoooo

aggnesfineassgirlHahahah si umeitwaa unagoma bby @mattynemo

aggnesfineassgirl@wemalicious hahahaha bby usiniuee uwiiiiii

carlozvellaAchana nao RESPECT KWAKO @aggnesfineassgirl

aggnesfineassgirl@chaggabarbie ��������

albertmgangajrAkili za wabongo bhana,achen unafiki jaman!!!wait n see

asmakarimPole no kweli umekatwa dear

hasnajalangoMh muulize wewe maana kang'ang'ana keshasema keshasema......amesea wapi nini ama udaku 2...@jessolomon

msafirijoab123Daaaaaaa wambea wanyamaze kabsa@aggnesfineassgirl

shinda2013Everybody can update the pics..

mattynemoNakuja soon... ngoja too mizigo iishe dar panachosha...@aggnesfineassgirl

minashabaniMumy nimekuwazia mengi nakukusikitikia sana@aggnesfineassgirl mwenyezi mungu akusaidi kama nikweli upo pouwa na afute hizi husda za midomo yawatu waliyo kuchuria mumy wangu

mariyumiisaidOhghogh***

leahna1112Pole sana mumyto kwanini wanakusingizia hivyo? Pls ukirudi wafungulie kesi haiwezekani wakuchafulie Jina kiasi hichi

achunbaaSasa hawa watu wanazusha maneno ya kisenge manake nn lkn

mpolesam@wolpergambe akupigii ngoo sababu sio yeye na ukimwambia ukweli anakublock ni mumewe anawazuga watu wanyamaze

nishabebee88Tunasemaga BUH BUH BUH likimpata mtuu timua vumbiiiiiii BUHHHHHHHHHHHH .. love u bby boo

biancaselishaYaani nasema wakukome My bebe

aggnesfineassgirlAs usual we present home city @linahbaby

salmakbarbinadamu haswa watz tumezoea kuona wenzetu wasiendelee wakuache mumy wng @aggnesfineassgirl , miss kisses

dadizgalJmn baby am glad ur back missed u booboo@aggnesfineassgirl

dminajmamy nlikumic nmeskia nkajua kwel wacha inpain

cutebeathaDaah pipo r bad.....mmxwhiii.....lov u kipenz

ladyhossyDuh pole kwa kuzushiwa

sandytemumungu mkubwa jamani.dah..nicheki pliz@aggnesfineassgirl

zhussein777hata ingekuwa kweli its non pipoz bussnes .... unatafuta zako huwa tafutii wao kula zako maisha @aggnesfineassgirl

latty3941Na mi nahc

aggnesfineassgirl@nishabebee88 lov u moo bby akeee

aggnesfineassgirl@nassorosalma ����������

aggnesfineassgirl@sandytemu nimewipe fone chek m on insta nkupe no yg ya huku

aggnesfineassgirlMis u moo bby bby @dadizgal

tarinawhtAm hapi������,watasonyajeeeeee!!do ur thing hun achana na wazushi Kama nawaona hii hii ���� dats y I lov u@aggnesfineassgirl

mamyluqMimi midomo yangu bado iko wazi uku kungekuwa na nzi ningemeza nzi nilivyoshaangaa wabongo tumefikia apa mtu anaropoka tu duuu pole mdada ila du

msafirijoab123Wanafiki walie2

levimkush@aggnesfineassgirl y pipo wanakusaka hvo mamii! Temana nao. Lov ya muuuuuuuch!