Saturday, January 12, 2013

DEREVA WA DALADALA AMGONGA DEREVA WA PIKIPIKI NA KUFA PAPO HAPO!!

Ajali iliyotokea jana jioni eneo la Igoma jijini Mwanza na kusababisha kifo cha mtu mmoja ambaye anatajwa kuwa ni abiria ambaye alikuwa amembeba dereva wa pikipiki hiyo iliyopata ajali yenye namba za usajili T988 BDW.
 Ambapo dereva wake ndiye mmiliki aliyekuwa amepakizwa alikimbia mara baada ya ajali hiyo kutokea,inasemekana
 Pikipiki hiyo iliyokuwa kwenye mwendo kasi iligonga kwa nyuma basi la abiria aina ya daladala lenye namba za usajili T768ASA lililosimama ghafla mbele ya pikipiki hiyo kwa ajili ya kupakia abiria.
Gsengo

No comments:

Post a Comment