Wednesday, January 23, 2013

ANGALIA PICHA ZA MTOTO ALIEZIKWA MZIMA NA KUFUKULIWA NA KUKUTWA MZIMA

Mama mmoja nchini Nigeria ameamua kumzika mtoto wake akiwa hai. Baada ya taarifa kupatikana polisi walienda na kuamua kufukua. Baada ya kufukua walimkuta mtoto huyo na kumkimbiza hospitali aliposafishwa mtoto huyo alikutwa hai.

No comments:

Post a Comment