Utapata zote kali toka ndani na njee bila kulipia .....!!
Wednesday, January 23, 2013
ANGALIA PICHA ZA MTOTO ALIEZIKWA MZIMA NA KUFUKULIWA NA KUKUTWA MZIMA
Mama mmoja nchini Nigeria ameamua kumzika mtoto wake akiwa hai. Baada ya
taarifa kupatikana polisi walienda na kuamua kufukua. Baada ya kufukua
walimkuta mtoto huyo na kumkimbiza hospitali aliposafishwa mtoto huyo
alikutwa hai.
No comments:
Post a Comment