Wednesday, January 23, 2013

SHAA KUTOKA NA NGOMA MPYA TAREHE 28 MWEZI HUU

Shaa baada ya ukimya katika muziki wa Bongo Fleva sasa mwaka huu amejipanga vema na ameweka wazi kupitia katika mtandao wa instagram, kwamba siku ya tarehe 28 mwezi huu anatarajia kuachia ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina la "Promise" na akaamua kuweka cover mpya ya ngoma hiyo.
Wale mashabiki wa Shaa Kaa tayari kwa ujio huo mpya kutoka kwa msanii huyo soon kutoka.

No comments:

Post a Comment