Kama unakumbuka vizuri mwaka jana Ben Paul alisitisha kufanya Collabo na msaani yoyote mpaka February 3, 2013, Lakini hapa katikati tumeskia Yatakwisha ft Linnah, Lord Eyes ft Ben Paul - No More Drama na Mama Yoyo Aliyoshirikishwa na G Nako. Leo Ben Paul ametengua kaulia yake kuhusu kusitisha kufanya collabo na kusema atakuwa akifanya collabo kwenye Ngoma nzuri .Ataangalia Potential ya Msanii ,Wimbo wenyewe na Production. Ben alisema ata International artist wanafanya collabo nyingi ila hawashuki kwa sababu wanazingatia Mambo hayo.
Kuhusu wimbo wake wa kwanza kutoka
mwaka huu Ben amesema `Jikubali' Inamuhusu mtu anaye Weka Tofauti kati
yake na watu wenye mafanikio, watu maarufu na ata wanasiasa. Hii ngoma
itamuhamasisha afanye vizuri kwenye jambo analolifanya ,kama ni kazi ,
elimu ,sanaa au chochote. Huu wimbo
unampa nafasi yakujiona ni mtu mwenye uwezo wakufanya kazi nzuri na
akafanikiwa na kusaidi familia yake. Mtu huyo atuone sisi kama watu
wa kawaida. Wimbo unatoka Kupitia Video kwanza alafu audio ndio
itafata.
Hamisa ,Izzo Bizness Na Sammisago |
Manager
wa Rapper Game amesema yupo kwenye mchakato wa kurudisha kundi la
G-Unit kama wasanii, 50 Cent na Game wata weka tofauti zao pembeni na
kutengeneza pesa kwa pamoja .
Fahamu Ni
takribani miaka kumi toka umemuona 50 Cent na Game waki share mic na
Manager Dontay "Taydoe" Kidd amesema 50 Cent anajua hakuna G Unit
bila game na Game anajua G Unit haiwezi kufanya vizuri bila yeye kwa
sasa.Dontay anategemea kutengeneza pesa nyingi kama G Unit litarudi tena
kufanya kazi pamoja kwani walikuwa na mashabiki sana . Dontay alisema
wakirudiana tu atahamisha jitiada zake kwenye bidha za G Unit kama T
Shirt , viatu ,kofia , na mpaka simu za G Unit.
No comments:
Post a Comment