Thursday, January 17, 2013

PROF J: HUU NDIYO USHAURI WANGU WA BURE KWA VANESSA MDEE



Tangu aachie wimbo wake wa kwanza, Closer, Vanessa Mdee amekuwa akimwagiwa sifa kibao kutoka kwa watu mbalimbali kiasi ambacho kimewafanya baadhi ya watu wahisi kama anapendelewa. Lakini ni ukweli usiopingika kuwa mtangazaji huyu ameendelea kujipatia mashabiki kibao.
Shabiki wake mpya wa sasa ni heavy weight mc, Joseph Haule aka Profesa Jay.Profesa Jay ameshindwa kujizuia na leo kwenye mtandao wa Twitter amefunguka kwa Vanessa kwa kutweet, “ Vanessa Mdee una kipaji cha hali ya juu sana, nakuomba sana sana ukichukulie SERIOUS, maana nahisi kama bado unauchukulia MUZIKI kama HOBBY!” “Coming from you. That means…

No comments:

Post a Comment