Hile muvie ya vichekesho iliyokuwa
ikisubiliwa kwa hamu na wapenzi wa filamu nchini PUSI NA PAKU sasa hipo
madukani. Katika muvie hiyo kutoka NISHA's PRODUCTIONS na kusambazwa na
STEPS utakutana na waigizaji kwenye hadhi ya 5 STARS kama KING MAJUTO,
NISHA na JACQUELINE WALPER.
HII SIO YA KUKOSA WAHI NAKALA YAKO LEO!!
Source blog by mdada wangu wa ukweli zeddylicious!!
No comments:
Post a Comment