Utapata zote kali toka ndani na njee bila kulipia .....!!
Sunday, January 6, 2013
RYT NOW NDANI YA AM-RECORDZ NA MANECK DIAMOND AKIFANYA YAKE
Leo tangiaalipoamka msanii diamond platnumz alikua na mzuka na Mzuka wa kufanya ngoma... akaona sio kesi ngoja amvutie waya Maneck... Eeeeh! nasasa hali iko hivi hapa Am Rec. Ni moja ya wimbo wa tofauti sanaaaa..
No comments:
Post a Comment