Hili ni kundi linalounganisha wadada watatu ambao ni
Rahima, Radhia pamoja na
Radhina kwa pamoja wanaunda kundi la
Unique Sisters.
Sasa kutokana kimya cha muda murefu kutoka kwa wadada hao ni kuwa sasa
wamerudi tena kwenye game na sasa wamekuja kivingine kabisa na ngoma yao
mpya inayokwenda kwa jina la
Club Banger.
No comments:
Post a Comment