Baada
ya kukaa nje ya uwanja kwa takribani mwaka mzima, kocha kihispaniola
Josep Guardiola leo hii ametangazwa kuwa kocha mpya wa klabu ya Bayern
Munich ya Ujerumani kuanzia mwezi wa sita mwaka huu.
Taarifa rasmi kutoka kwenye klabu hiyo
iliyotolewa muda mfupi uliopita inasema kwamba Guardiola atachukua
majukumu yake ya kuwa manager mpya wa timu hiyo baada ya msimu wa
2012-2013 kuisha, na amesaini mkataba wa miaka mitatu wa kuifundisha
timu hiyo inayoongoza ligi ya Bundesliga.
Source: Shafii dauda
No comments:
Post a Comment