Kufuatia vurugu zilizotokea kwenye
show yake ya kufunga na kufungua mwaka iliyofanyika Maisha Club, msanii
1st Grade Bongo Diamond Platinumz amefunguka na kusema hasara
aliyoipata kwenye fujo hizo..
Alisema amepata hasara ya zaidi ya
Milioni 13 kutokana na kuibiwa kwa simu yake IPHONE5, cheni pamoja na
video camera aliyoinunua kwa bei kubwa sana kwa ajili ya matumizi ya
website yake.
No comments:
Post a Comment