Wakili huyo akizungumza na vyombo vya habari na kusema kuwa kitendo cha wasanii kutojitokeza mahakamani siku zote za kesi au siku ya mwisho ambayo Lulu alikuwa anapewa dhamana kunatia shaka kwamba ndani ya tasnia hiyo hakuna upendo na huwa wanapendana kwenye raha pekee.
Alisema kuwa mbali na hao lakini amekuwa na furaha kwa kiasi kikubwa kutokana na upendo uliokuwepo kutoka kwa wasanii Dr Cheni na Monalisa ambao wamekuwa karibu na familia ya Lulu hadi siku ya dhamana ambapo ndiyo waliompokea mahakamani.
No comments:
Post a Comment