Hii Stori Moja wapo kati ya Stori za Mbeya Zilizokaa sana kwenye Headlines
Mwaka huu,Ni kuhusu yule Binti Alimchoma kwa Maji moto na Kumlisha choo
Mtoto mwenye Miaka 3 ambae ni wa Dada yake...
Mtoto Huyo alikatwa Mikono Baada ya Kushindwa Kutibiwa hospital...
TAHARIFA ambayo Imeripotiwa Kutoka Mbeya Kwamba Binti Huyo amehukumiwa
Kifungo cha Maisha Jela...!!
No comments:
Post a Comment