Tuesday, February 19, 2013

BALOZI MWANAIDI SINARE MAAJAR ATEULIWA KUWA MWENYEKITI WA BODI YA CHUO CHA DIPLOMASIA 


Balozi wa Tanzania Nchini Marekani Mhe.Mwanaidi Sinare Maajar akiwa kwenye
Picha ya Pamoja na Rais wa Marekani Barrack Obama,Mara baada ya kukabidhisha
hati ya utambulisho wa Balozi wetu Huyo Nchini Humo tarehe 16.09.2010

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Jakaya Mrisho kikwete
Amemteua Balozi Mwanaidi Sinare Maajar kuwa Mwenyekiti wa Bodi
ya Chuo cha Diplomasia(CFR) Kilichopo kurasini Jijini Dar Es Salaam.

No comments:

Post a Comment