Hii Ilikuwa Post Kwenye Facebook Ya Pipi Doreen Kuhusu Pete aliyo valishwa na Mpenzi wake. Pipi
Aliongea na sammisago.com kuhusu maisha yake kwa sasa na kusema wakati
anaujauzito alifanyiwa Ndoa ya Kimila na Kwa sasa baada ya Kujifungua
yupo tayari Kufunga Ndoa Kanisani na Anafuraha and She So Happy About
It,Alisema Pipi . Kuhusu Mziki Pipi alisema hajaacha mziki ila kwa sasa
maisha yake yana mambo mengi ambayo anabidi afanya ila akimaliza
atafanya mziki kama kawaida.
No comments:
Post a Comment