Tuesday, February 19, 2013

SHILOLE CLASSIC AFANYA BALAA SOUTH AFRICA...!!

Shilole classic akiwa na Baby Boy na Mafia Mnyama alipowasili Afrika kusini
Anzo Mafia,Joff Mnyama wakiwa na shilole kabla ya show....!!
Anzo Mafia Moja ya Promoter Nguli South Africa akiwa na Flower Diva
kutoka S.A
Mama Kiuno Shilole akiwa na Moja ya wadau wa S.A
Mafia Mnyama The Man Himself Aliefanikisha show ya Shilole nchini
S.A......

Si ndo Mziki wa Mwambao ukahanza kuteremka taratibu.......

Ni viuno tu Kwenda Mbele.....!!
John A.k.a Toyi akiwa na Shilole after show....!!

No comments:

Post a Comment