Ebhana eeeh hiki ni kioja zaidi ya kioja,mastaa hawa kutoka majuu kila kukicha ukisikia ili kesho watakuja na ili sio kiubaya lakini laasha ni katika kuweka maisha yao halisia na kuonesha kile ufanyaga wanapokuwa nyumbani kwa mashabiki zao.... Msanii Nicki Minaj mwenye asili ya visiwa vya Trinidad & Tobago siku ya jana kupitia mtandao wake wa Instagram aliweza kuweka picha hizi na kuonesha sehemu ya mwili wake tena akimanisha ni maziwa yake kiujumla yakionekana wazi kabisa... Mwanadada huyo mwenye mvuto wa aina yake kama ilikuwa aitoshi aliweka picha nyingine na kuandikia maneno "#Titythursday a day to celebrate".... |
No comments:
Post a Comment