Ikiwa ni siku chache tu mara baada ya kuachia single yake mpya "Salamu zao" Ney wa mitego amepokea salamu zake kwa ujumbe mfupi kutoka kwa mmoja wa aliekuwa kwenye kamati ya mazishi ya marehem Albert Mangweha "Ngwea" .
Meseji hizo ambazo Ney hakutaja ni nani exactly aliezituma, zinaonyesha kumuuliza Ney kama hiyo ni hiphop au nini maana ni kama kuwatukana.
Baada ya kupost picha hiyo yenye meseji hizo, Ney aliandika kuwa meseji ziko nyingi na ataendelea kuzipost na wala haogopi vitisho vyao na kuwaomba wanakamati hao kupeleka pesa zilizokuwa zimepatikana katika mazishi ya Ngwea kwa mama yake mzazi hata kama nikimya kimya maana bado muda wanao
No comments:
Post a Comment