Justin
Bieber ameamuakuongeza tattoo nyingine katika mwili wake na safari hii
ameamua kuchora jicho la mama yake mzazi katika mkono wake akiwa
anamaanisha kuwa, wakati wote mama yake anamuangalia kuhakikisha kuwa
michongo yake inakwenda sawa, itazame hapa.
No comments:
Post a Comment