Monday, December 30, 2013

Picha: kwenye uzinduzi wa Video ya Rich Mavoko Maisha Club

Juz kati Hapa msanii wa bongo fleva Rich Mavoko alizindua Video ya nyimbo yake inayohit kinoma Sasa jijini na video Io ilizinduliwa Tarehe 29/12/2013 pale Maisha club iliyopo Osterbay ..
Na alisindikizwa na wasanii kama Jux,Shetta,Dully sykes,Mr.blue,gosby, na wengi...

No comments:

Post a Comment