Juz kati Hapa msanii wa bongo fleva Rich Mavoko alizindua Video ya nyimbo yake inayohit kinoma Sasa jijini na video Io ilizinduliwa Tarehe 29/12/2013 pale Maisha club iliyopo Osterbay ..
Na alisindikizwa na wasanii kama Jux,Shetta,Dully sykes,Mr.blue,gosby, na wengi...
No comments:
Post a Comment