CHEKI ALICHOKIFANYA WIZKID KAMA SHUKRANI KWA KUFANIKIWA KIMUZIKI
Kufuatia mafanikio makubwa kimuziki ambayo
msanii wa muziki wa Naijeria, Wizkid ama Weezy kama anavyojulikana sasa,
mwishoni mwa wiki aliamua kufanya kitu cha kipekee huko Lagos kwa kufanya
onyesho la bure kwaajili ya mashabiki wake.
Wizkid mwenyewe amesema kuwa ameamua kufanya hivi kutokana na ukweli kuwa kipaji cha kuimba amekipata bure bila kumpa Mungu kitu chochote.
Zaidi ya kupiga show bure, Msanii huyu pia aliamua kugawa mpunga kidogo kwa wapenzi wa kazi zake ambao walikuwa na bahati na hii ndiyo video ambayo inaonyesha mambo yalivyokuwa;
Wizkid mwenyewe amesema kuwa ameamua kufanya hivi kutokana na ukweli kuwa kipaji cha kuimba amekipata bure bila kumpa Mungu kitu chochote.
Zaidi ya kupiga show bure, Msanii huyu pia aliamua kugawa mpunga kidogo kwa wapenzi wa kazi zake ambao walikuwa na bahati na hii ndiyo video ambayo inaonyesha mambo yalivyokuwa;
#AJABU: HUYU NDIYE MWANAUME AMBAYE ANATARAJIWA KUFANYIWA OPARESHENI ILI KUWEKEWA UUME
Historia mpya inakaribia kuandikwa duniani
baada ya mwanaume ambaye anajulikana kwa jina Andrew Wardle, kutoka Stalybridge,
Greater Manchester huko Uingereza ambaye alizaliwa bila uume, kufanya mpango wa
kutengenezewa na kuwekewa kiungo hicho kwa njia ya oparesheni.
Mwanaume huyu ambaye kwa sasa anaumri wa
miaka 39, anatarajiwa kuwa mwanaume wa kwanza kabisa duniani kufanyiwa
oparesheni kama hii na ajabu zaidi ni kwamba, kiungo hiki kitatengenezwa kutoka
sehemu ya mkono wake.
Katika mahojiano yake na mtandao wa The
Sun, Wardle mwenyewe anasema kuwa, hakuwahi kufikiria kutokea kwa siku ambayo
anaweza kupata kiungo hiki muhimu kwa mwanaume na ambacho kinafanya kazi
sawasawa, na endapo itakuwa ni ya mafanikio, ataanza kuishi kama mtu wa
kawaida.
Madaktari kutoka chuo kikuuu cha London tayari wameshakiri ugumu wa zoezi ili lakini wamesema kuna uwezekano mkubwa wa kufanikiwa.
Katika hali yake aliyokuwa nayo sasa, Wardle anadai kuwa amekwishawahi kulala na zaidi ya wanawake 100, na asilimia 20% tu ya wanawake hawa ndio alioweza kuwaambia ukweli.
Wardle kwa sasa anafanya kazi kama mlinzi, mpishi na mhudumu na katika historia yake, amekwishapata matukio mbalimbali ya kunyanyaswa kutokana na hali yake na kupoteza marafiki kadhaa wa kike, na amekwishakuwa akijihusisha na matumizi ya madawa ya kulevya kama kitu cha kumfariji.
Andrew Wardle |
Andrew Wardle |
Madaktari kutoka chuo kikuuu cha London tayari wameshakiri ugumu wa zoezi ili lakini wamesema kuna uwezekano mkubwa wa kufanikiwa.
Katika hali yake aliyokuwa nayo sasa, Wardle anadai kuwa amekwishawahi kulala na zaidi ya wanawake 100, na asilimia 20% tu ya wanawake hawa ndio alioweza kuwaambia ukweli.
Wardle kwa sasa anafanya kazi kama mlinzi, mpishi na mhudumu na katika historia yake, amekwishapata matukio mbalimbali ya kunyanyaswa kutokana na hali yake na kupoteza marafiki kadhaa wa kike, na amekwishakuwa akijihusisha na matumizi ya madawa ya kulevya kama kitu cha kumfariji.
No comments:
Post a Comment