
"Nina mpenzi na huwa ninapenda kuwa muwazi sana na mwenye kujiamini lakini pia unatakiwa kujilinda ninataka kuwa na mpenzi mzuri lakini sitaki mpenzi kwa sasa " alisema Gomez
Alisisitiza kuwa unapokuwa staa unatakiwa kuwa muangalifu kwenye maswala ya mahusiano hususani kuchagua mchumba aliye bora kwako
No comments:
Post a Comment