Monday, March 18, 2013

Mwanamuziki Selena Gomez japokuwa anamoyo wa mapenzi lakini kwa sasa haitaji kuwa na mpenzi Gomez ambaye ameripotiwa januari mwaka huu kuachana na mpenzi wake Justin Bieber na tangu wakati huo hajawahi kuwa na uhusiano na mtu yeyeto yule wala kuripotiwa kufanya hivyo

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhx3GdQ0ybLANlDle8q1qhV6kQyk4PUiecvGnDQLw7dLvbx2WMIZ_CKQF5XIGFCKJKk1_0Rr5fceMISTzkC6lAJ_K_Jph9QIuc-SLPnP9a2pM3l5ijcrOVu960pscT4O2ABkp9E4VckuY9T/s1600/Selena-Gomez-Earings.jpgMwanamuziki Selena Gomez japokuwa anamoyo wa mapenzi lakini kwa sasa haitaji kuwa na mpenzi Gomez ambaye ameripotiwa januari mwaka huu kuachana na mpenzi wake Justin Bieber na tangu wakati huo hajawahi kuwa na uhusiano na mtu yeyeto yule wala kuripotiwa kufanya hivyo

"Nina mpenzi na huwa ninapenda kuwa muwazi sana na mwenye kujiamini lakini pia unatakiwa kujilinda ninataka kuwa na mpenzi mzuri lakini sitaki mpenzi kwa sasa " alisema Gomez

Alisisitiza kuwa unapokuwa staa unatakiwa kuwa muangalifu kwenye maswala ya mahusiano hususani kuchagua mchumba aliye bora kwako

No comments:

Post a Comment