TV hiyo imeingizwa sokoni kwa mara ya kwanza
Korea Kusini ikiwa inauzwa 160million won ya
Korea Kusini sawa na shilingi milioni 241 za
Tanzania.
TV hiyo inatumia teknolojia ya U-HDTV (Ultra-
High Definition Television) inayosababisha picha
kuonekana vizuri zaidi ya mara nne ya TV za HD
za kawaida.
No comments:
Post a Comment