Wednesday, January 1, 2014

Picha: Samsung yazindua TV kubwa zaidi duniani, ni ya inch 102, inauzwa milioni 240

TV hiyo imeingizwa sokoni kwa mara ya kwanza
Korea Kusini ikiwa inauzwa 160million won ya
Korea Kusini sawa na shilingi milioni 241 za
Tanzania.
TV hiyo inatumia teknolojia ya U-HDTV (Ultra-
High Definition Television) inayosababisha picha
kuonekana vizuri zaidi ya mara nne ya TV za HD
za kawaida.

No comments:

Post a Comment