“Sijawahi kutoka na Mwana FA, zaidi ya kufanya naye tangazo
ambalo niliombwa na dada’ngu, Mboni Masimba nikafanye
naye kwa ajili ya shoo ambayo anaiandaa hivi karibuni,
wanaonihusisha na mapenzi na Mwana FA hawanitendei
haki hata kidogo maana sijawahi hata kuwa na wazo
naye,” alisema Husna Maulid.
|
No comments:
Post a Comment