Friday, May 17, 2013

PICHA: HUSNA AKANA KUWA NA MAHUSIANO NA MWANA FA..!!

“Sijawahi kutoka na Mwana FA, zaidi ya kufanya naye tangazo
 ambalo niliombwa na dada’ngu, Mboni Masimba nikafanye 
naye kwa ajili ya shoo ambayo anaiandaa hivi karibuni, 
wanaonihusisha na mapenzi na Mwana FA hawanitendei
 haki hata kidogo maana sijawahi hata kuwa na wazo 
naye,” alisema Husna Maulid.

No comments:

Post a Comment