Ilikuwa safari ya Kukesha na Kuandika Studio..... Umeme kuzimika...! Siku 14 kukaa chini kuwapikia watanzania mahakuli ili mioyo yao iende saawia.....!! Nyimbo ikatoka watanzania wakaipokea kwa Amani na Furaha tele....!! Tukaona isiwe kesi wala Deni.....Tukaa kaa chini kiufundi zaidi kuwapikia video...!! Sasa ule wakati umewadia ambao maelfu kwa malfu ya watanzania nchini kote walikuwa wakiusubiria..! Jumamosi hii Along side with My Great Man Nay wa Mitego The mastemind....Tunakuja tena kuwarudishia shukrani kwa mapokeo ya nyimbo....... Jumamosi Hii ndani ya Darlive pale pale Mbagala......Nay wa Mitego & Diamond Platnumz Tutaenda kukinukisha Vilivyo.....Nataka wewe uwe shaidi,Uje kutoa uhamuzi nani mkali kati ya Hip Hop au Bongofleva...wale wagumu au sisi wabana pua.....!! Nataka udhiirishe yale aliyosema Nay kwenye Show Viuno Mbele Mbele.....! Nataka wewe uje uwe shaidi uone nani atakaa kati yetu .....Alafu Baada ya Hapo Kile kichupa cha Dunia tutakitambulisha Pale pale kama shukrani kwenu......!! Kwa Kiingilio cha 10,000/= ya Kitanzania,kuanzia saa 1 had majogoo....!!
HII SI YA KUKOSA...USINGOJE KUADISIWA NJOO USHUUDIE MWENYEWE BONGOFLEVA VS HIP HOP... |
No comments:
Post a Comment